Clam na time nzima mmeua mnastaili Maua yenu from dubai tunawapenda sana 🇦🇪🇦🇪❤️❤️🇹🇿🇹🇿❤️❤️ kazi nzuli kweli kaka umetuliza kichwa wewe nimlisi wa bongo movie sali sana mungu akuweke utimize malengo yako na ya filamu Tanzania 🇹🇿 ❤❤❤❤❤
Nisiwe mchoyo wa shukrani ❤❤❤ahsanteni sana move ni nzuri mnooo pia tunashukuru angalau sikuhizi tunaangalia muda mkubwa tofauti na mwanzo dakika 8 hongera za dhati kwenu nyote washiriki wa hii movi pamoja na muhusika mkuu.
Vevo wewe nimuigizaji waina yakee katika afrika hii hongera kram vevo unajuwa kaka mungu akuzidishie nguvu uzidi kupambana akuepushe na mabaya yoteeeee❤
Clam wewe unajuwa sanaaa ninapenda sana the way you are so creative unamfanya mtu anaeangalia movie awe ana concentration ya hali ya juuuu sanaaaaaa 😍😍😍😍😍😍
Hii tamthilia ni moto wa kuotea mbali aisee 🎉Kuna hiyo sound hapo mwisho yaani ni 🔥🔥🔥 hongera sana,hii ndio sanaa siyo wale wa kukaa kweny masofa makubwa na wanawake wenye mawowo makubwa 😂😅 .... keep it up
Tunakukubali sana Clam ila unatuacha muda mref bila kutoa tunakuw na ham ya kusubir mpaka inaisha😢 tutolee mapema tuendelee kuangalia maan ni nzur tunaipenda❤❤❤
mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.
mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.❤❤❤❤
Nimefurai kweli ungemaliza n ntiba alafu ndipo malikia tuone ilo tumbo n mtto au n nmawe😂😂😂❤❤❤nawapenda bure. Msichelewe bc nawependa lkn mbachelewa kweli
I am from congo DRC but tanzania is my second country. Bro lemme tell you something, your creativity is shining brightly! Your unique ideas and innovative approach are truly making a positive impact. Keep up the fantastic work - the world needs more of your creative energy! 🌟
Sina neno wazee mmetishaa Sana kadri move inavyozidi kwenda kwenda mbelee ndio kwanza inakuwa tamu na Mambo mapya tunayapata ambayo mwanzo hatukujua chanzo Cha uhasama wao
One of the best Movies in 2023 , Hongera sana clam na Kakoso kwa kazi kubwa mnayoifanya ❤
Wakwanza pap tusonge pamoja na nimekua mmoja wa kundi la clam soon nitakua kwenye tamthilia ijayo❤sappoti
Amu comenti via mahana
@@skeyboy2 umeona eeh sasa mtu anataka likes zinamsaidia nn sasa wananikera hawa
Nakuonea wivu🙆
Mnachelewa kutoa
❤❤❤
Kwenye Top 10 ya wanaoitazama filamu hii wakiwa nje ya Tanzania tupeeni like zetu plz❤❤❤ Clam you are the the best
Much love from kenya
❤❤❤❤❤❤
Oman
Saudia
nipo DRC
Cjui wangapi ila naombeni like ata 10 wa pendwa. Km kwely tunamunga mkono clam kutokana na kazi zake nzuri.
Wakenya tunapenda sana hii series, wapi like zetu??
Twaipenda kweli ila anachukua muda sana kuleta ingine
Hapa nayo hujadanganya😂😂😂
ongera sana clam kua viote big boss best fend pamoja na snake Boy tuna jivuniasanatuu kukupata mutu kamaweye munipe like zangu okay 👍
Wakwanza leo from kenya much love 🇰🇪🇰🇪🔥🔥
Clam Vevo is on another level....yaani Clam ameamua kuwazika akina Steve Mweusi, Ndaro na Makoti wangali wazimaa. Watching from Kenya Nairobi
😂😂uchonganishi huo 😂
Nimeipenda iyo chakula kimechelewa kufika ndizi zimeisha aaaahhhh.mapenzi hassara
Clam na time nzima mmeua mnastaili Maua yenu from dubai tunawapenda sana 🇦🇪🇦🇪❤️❤️🇹🇿🇹🇿❤️❤️ kazi nzuli kweli kaka umetuliza kichwa wewe nimlisi wa bongo movie sali sana mungu akuweke utimize malengo yako na ya filamu Tanzania 🇹🇿 ❤❤❤❤❤
Congratulations to clam vevo's team
Napendaga chapati na malagwe
From 254👋👋👋
Nisiwe mchoyo wa shukrani ❤❤❤ahsanteni sana move ni nzuri mnooo pia tunashukuru angalau sikuhizi tunaangalia muda mkubwa tofauti na mwanzo dakika 8 hongera za dhati kwenu nyote washiriki wa hii movi pamoja na muhusika mkuu.
Jaman baadaa ya kuchelew mda mrefu hatimae Leo kidogo nimewah naomba like 50 tu❤
Namimi leo nimewahi
Umepewa like 137 na reply mbili Ehee unauza Bei gan
Safi sana ila mnachelewesha sana
Chukuwa zote😂😂😂
Mbna km ndongo iv
Vevo wewe nimuigizaji waina yakee katika afrika hii hongera kram vevo unajuwa kaka mungu akuzidishie nguvu uzidi kupambana akuepushe na mabaya yoteeeee❤
Kwa kweli unakoelekea naona kabisa unafata nyayo za steven kanumba clam vevo mungu akusaidie
Congratulations to you all team kakoso good work
This guys are doing that thing they way it should be much love from Kenya
wa kwanza from USA🇺🇸 but please team clam vevo don’t delay with episode 17👏👏
Wakwanza leo kuwatch, team hamam team kujiamini nawarepresent niko mbele nimewashikia viti, also representing Kenya my country🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Tupo team hammam nawakilisha Zanzibar 😅
Here we go🎉🎉🎉🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri sana hongereni washiriki wote mungu azd kuwatia nguvu na ufanisi zaid
Mnajua mpaka mnakera watu wangu,big up sana kwa director na washiriki wote wa siries hii kali ambayo ina mafunzo na burudani za kutosha🔥🔥🔥🔥
Much love ❤️ from kenya 🇰🇪 si wanifahamu si nanga umbea umbea... clam vevo kazi nzuri sna
Clam VEVO naona kabisa mpk 2024 utakuja kumfikia kanumba much love ❤❤🎉🎉🎉
Big up dogo Clam pia pongezi hizi na kwa kakoso mwakatobe na Zumba nawakubali sanaaaaa
Haisee hii move mume wangu na mtoto wangu wanaipenda ubarikiwe clam
Very proud of Clam from Our Country Kenya good job & good luck ❤
Força clam te desejo tudo de bom
Mozambique 🇲🇿 CADODO
Congratulations, we are proud of clam from kenya, much love ❤
much love ❤ from Kenya 🇰🇪 clam never disappoint keep up
Wale wa kuchelewa kuangalia tujuane tafadhali ❤❤❤❤❤😊
Mamb
@ManenoMtitu-b9r Ramadan Kareem 🌙
Kwa Nini mimi sipati like.kwa sababu mimi mu congomani?
Namkubali sana Kim. Timu yote yastahili pongezi sana.
Anatabia gani vile😂😂😂
Anatabia gani vile😂😂😂
Anaigiza role yakw vizuri sana
@@m.mmarckus6298za kimalaya malaya😂😂😂😂
@@m.mmarckus6298ya umalaya malaya😂😂😂
Much love from Kenya people from tz we loves you alot like back tz people
Kenya 🇰🇪 watching anxiously waiting for the next episode....
Clam wewe unajuwa sanaaa ninapenda sana the way you are so creative unamfanya mtu anaeangalia movie awe ana concentration ya hali ya juuuu sanaaaaaa 😍😍😍😍😍😍
By Greas,, Nice saan❤
Sitivini
0:28
Iclam unajua tena zaidi ya kujua sema shida yako move zako zinaishia njiani❤❤❤
Nasisi Burundi tupo vizuri tunafatiliya hii movie hii ni international banger
Waah Noma Sana still waiting for the next episode MWARINGA nikiwa Mombasa KENYA 🇰🇪 love you guys ❤❤
Mwaringa which😂
Maringa who😂😂 uko mombasa wapi
Much love❤ from Kenya🇰🇪 clam,,,,guzisha likes tukingoja next episodes to come
Sawa
Pamoja
Mungewacha nahizo za nyoka kiroho zinaweza kuwamili kama mnapenda Mungu
nili isubili kwa hamu sana ❤❤❤❤❤❤
Kama unaangalia snake boy huku unasoma comment naomba gonga like hapa ya upendo kwa clam vevo
❤❤❤
Niambie jina lako kwanza
E si,mwingine eliya ndalemye nihatali@@GerrardYoktani
Rukia mambo
4
Hii tamthilia ni moto wa kuotea mbali aisee 🎉Kuna hiyo sound hapo mwisho yaani ni 🔥🔥🔥 hongera sana,hii ndio sanaa siyo wale wa kukaa kweny masofa makubwa na wanawake wenye mawowo makubwa 😂😅 .... keep it up
Umesema kweli yani umenifirisi
Nilikua siangaliagi bongo movie ila clam kanikamata kuanzia kwenye big boss,best friend na hii 🎉
Kaka unajuwa sana kunamwanangu anakupnda sana
Much love ♥️ from Kenya 🇰🇪🇰🇪 Clam never disappoint keep up
❤❤❤
Sg
Hongerani sana yaani nilikuwa sio mpenz wa kuangalia bongo movie lakin ukwel mmenikamata ❤❤❤❤❤ snake boy sarut
Tunao cheki move yetu pendwa uku tuna soma koment tujuane hapa 😍🙌🔥🔥🔥
😂😂😂
😂😂😂😂😂
Nkubal
😅😅
😂😂😂😂
Nakubali sana nilkuwa naisubr kwa hamu sana asante sana Clam 🎉🎉🎉
Sikuhizi mnatufurahisha Kwa dakika mmeziongeza Safi sana hongereni sana team VEVO
Clam series yako ni nzur sana jitaid kuwai kutoa sio tunasubir adi wiki
Wakwanza nipo like zangu from Mozambique
Tunakukubali sana Clam ila unatuacha muda mref bila kutoa tunakuw na ham ya kusubir mpaka inaisha😢 tutolee mapema tuendelee kuangalia maan ni nzur tunaipenda❤❤❤
𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊
Kwel bwana mpaka unakata tamaa kwann ulikuwa unaifatili
Kweli
Kwa wik mara1 Ni kila jumatano au alhamis ndo inaruka marachache san kuwah
lazima ichelewe maana imeongezewa muda na kitu kizuri hakihitaji haraka
Daah ila mnatcheleweahea mwendelezo mpaka tunasaau km Kuna sneck boy ila pamoja sana❤❤❤🇴🇲🇴🇲🇴🇲Yani hii movie tamu sana daah mambo, 🔥🔥🔥
Samahani vevo nami napenda sanaa sana naomba nami niwe moja yavijana wako ntajitoa kadri yauwowang kaka malengo nikujfikisha rebo mbali
Napendasanaiyo muvi❤❤❤❤😮😮😮🎉🎉 jevahlaureen
🎉🎉
mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.
This one is fire 😂😂 mwakatobe kashaa aribu maneno can't wait nione ..akimezwa 😄😄😄😄am waiting 4 this........
Yaan Ntiba anakurupuka hlf mwoga, silaha kapewa yeye ila kaogopa kaamua kumterekezea raia😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 hata sauti yake kawa mpole
@@idri2907umeona alivyopoa eeee 😅😅😅
Snake boy mambo sio mambo ni hatariii sana 🔥🔥🔥💪
Much love from Ethiopia 🇪🇹🇪🇹🇪🇹
❤❤❤🎉nawa penda sana but mnatuchrlewesha sisi wa shabiki nawa tizama kutoka south africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦😊
Weueh,clam fire....
🔥 🔥
Much love from Kenya and I can't wait part 17
Imeishia patamu I can't wait to see next episode akii clam congratulations 👏 Allah akujalie kwa kipaji chako inshallah
Mambo ni motoo muv tamu
@CLAM VEVO ,hakika umeiva ,umejipanga na kazi yako unaiheshimu ,
Bonge la seasons hili ,👏👏👏👏👏
mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.❤❤❤❤
Dahh clam wew endelea tu 🎉congratulations ❤️
My favorite notification SNAKE BOY❤❤❤...Here I am Clam😂😂🙌🙌🙌🙌
likewise
Wakwanza leo Namben like zangu
Nimekuwa wa 5 leo,from USA nawafuatiliya vizuri sana
Itakayokuja najua itakua ni hottttt zaidi woyooo usituchelewesheee banaaaa ❤❤
Jamaniiii umeonaa visoda vya gachuma na vizibo vya mooooh dewj guy Wana fanya kazii nzurii sanaa
Kazi nzuri timu clam mungu amiongeze inshaallah
Mins 17 viwes wakutosha mungu akubariki zaidi na zaidi clam vevo na Tim Yake kwa Jumla kwa tunayoipenda hii move wekeni like zenu apa.❤
Pamoja mpaka tunaimaliza hii series 💪💪
Kali yani😅😅haya naombeni likes😂😂😂
Bom trabalho senhores damos a gostar muito do trabalho força 💪 Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿
Wangapi tupo online mda mwingi kufuatilia hii season gonga like tujuane
This has been the best series 2023❤
Sure
❤
Kwann NISIWE wakwanza ni kafunga mwaka. Weka like acha wivuuuu😂😂😂😂
Kazi nzuri,naangalia nkiwa Saudi,lkn nm kenya ✌️
👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏Patamu apo sasa Ntiba na Shahidi vita kali,👍Clam na timu yako
Kama mnavojua sinaga tabia za umbea umbea 😅😅😅😅 plz like zangu😂😂😂🙏🙏🙏
😂😂😂😂😂
Mambooo ni motooooo sana hatriiiiii but mujitahidi musicheleweshe sana tupo pamoja sanaaaa❤❤❤
Yesssss iyo ni Noma kabs😂
Ni story nzuri inavutia na ubunifu mzuri asanten sana natamn angalau kwa wiki 2 maaan hatuna movi nyengine km hiiii
😂😅😅
nipeni like zangu atakama nimekuwa wa mwisho😅
Nimefurai kweli ungemaliza n ntiba alafu ndipo malikia tuone ilo tumbo n mtto au n nmawe😂😂😂❤❤❤nawapenda bure. Msichelewe bc nawependa lkn mbachelewa kweli
I am from congo DRC but tanzania is my second country. Bro lemme tell you something, your creativity is shining brightly! Your unique ideas and innovative approach are truly making a positive impact. Keep up the fantastic work - the world needs more of your creative energy! 🌟
Emotional comment
💪💪💪
❤❤
Love this comment ❤❤❤
hi
Dah big up bro clam Ii ep imetulia sana tatizo unatoa Moja Kwa wiki watutoa stimu sie tunaofatilia 😂 ❤ from kenya tunangoja next
Nakubali kazi zako ila tatizo unatukawiza sana
Kazi nzuri sana clam, jitaidini kuwaisha. Kakoso upo vizuri usiongeze wala kupunguza
Big up clam VEVO 🙏🏿🙏🏿🔥🔥🔥
Congratulations we are proud of clam ...much love 4rom saudia
Nimekuwa 12,856 nipe like zanguuu😂😂😂😂😂 much love to you All views
😂😂😂😂
❤
Best series so far🔥🔥 naipenda Sana...clam en ur team congrats...naweza kuwatch lolote lile Bora clam yupo na team lake❤️
Film nzuri big up
Sina neno wazee mmetishaa Sana kadri move inavyozidi kwenda kwenda mbelee ndio kwanza inakuwa tamu na Mambo mapya tunayapata ambayo mwanzo hatukujua chanzo Cha uhasama wao
Naomba lke zangu mm ndio wakwanza leo
Leo nimekuwa ws kwanza kuangalia ..jamani nyie watu mnajua sanaaa❤❤❤
Wakwanza from Burundi nipeni likes zangu jaman ❤❤❤
Me nimeikubali saba❤
Kzi tamu tamu anko