SNAKE BOY | 16 |

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 апр 2025
  • Follow Me On Instagram
    / clamcris_
    Tiktok:
    / clam_cris
    Facebook:
    www.facebook.c...
    #clamvevo

Комментарии • 2,9 тыс.

  • @jamesjesus6937
    @jamesjesus6937 Год назад +111

    One of the best Movies in 2023 , Hongera sana clam na Kakoso kwa kazi kubwa mnayoifanya ❤

  • @Dir.Boireezy
    @Dir.Boireezy Год назад +831

    Wakwanza pap tusonge pamoja na nimekua mmoja wa kundi la clam soon nitakua kwenye tamthilia ijayo❤sappoti

  • @GenerationZ_Channel
    @GenerationZ_Channel Год назад +603

    Kwenye Top 10 ya wanaoitazama filamu hii wakiwa nje ya Tanzania tupeeni like zetu plz❤❤❤ Clam you are the the best

  • @maryamabdalla5644
    @maryamabdalla5644 Год назад +15

    Cjui wangapi ila naombeni like ata 10 wa pendwa. Km kwely tunamunga mkono clam kutokana na kazi zake nzuri.

  • @kijanaWaMamaBhajia
    @kijanaWaMamaBhajia Год назад +74

    Wakenya tunapenda sana hii series, wapi like zetu??

    • @ThoyahsFilm
      @ThoyahsFilm Год назад +1

      Twaipenda kweli ila anachukua muda sana kuleta ingine

    • @violamagova6685
      @violamagova6685 8 месяцев назад

      Hapa nayo hujadanganya😂😂😂

  • @skeyboy2
    @skeyboy2 Год назад +81

    ongera sana clam kua viote big boss best fend pamoja na snake Boy tuna jivuniasanatuu kukupata mutu kamaweye munipe like zangu okay 👍

  • @princekillian3640
    @princekillian3640 Год назад +49

    Wakwanza leo from kenya much love 🇰🇪🇰🇪🔥🔥

  • @djnelyford
    @djnelyford Год назад +68

    Clam Vevo is on another level....yaani Clam ameamua kuwazika akina Steve Mweusi, Ndaro na Makoti wangali wazimaa. Watching from Kenya Nairobi

    • @miishhassn
      @miishhassn Год назад

      😂😂uchonganishi huo 😂

  • @ramadhaniharidi1682
    @ramadhaniharidi1682 Год назад +5

    Nimeipenda iyo chakula kimechelewa kufika ndizi zimeisha aaaahhhh.mapenzi hassara

  • @Professor.Irene95
    @Professor.Irene95 Год назад +12

    Clam na time nzima mmeua mnastaili Maua yenu from dubai tunawapenda sana 🇦🇪🇦🇪❤️❤️🇹🇿🇹🇿❤️❤️ kazi nzuli kweli kaka umetuliza kichwa wewe nimlisi wa bongo movie sali sana mungu akuweke utimize malengo yako na ya filamu Tanzania 🇹🇿 ❤❤❤❤❤

  • @BrunolKoinange-ei6hd
    @BrunolKoinange-ei6hd Год назад +120

    Congratulations to clam vevo's team
    Napendaga chapati na malagwe
    From 254👋👋👋

  • @ashahamisi5884
    @ashahamisi5884 Год назад +15

    Nisiwe mchoyo wa shukrani ❤❤❤ahsanteni sana move ni nzuri mnooo pia tunashukuru angalau sikuhizi tunaangalia muda mkubwa tofauti na mwanzo dakika 8 hongera za dhati kwenu nyote washiriki wa hii movi pamoja na muhusika mkuu.

  • @Mshedede77-uv7cv
    @Mshedede77-uv7cv Год назад +249

    Jaman baadaa ya kuchelew mda mrefu hatimae Leo kidogo nimewah naomba like 50 tu❤

  • @cyprian.dimoso2083
    @cyprian.dimoso2083 Год назад +10

    Vevo wewe nimuigizaji waina yakee katika afrika hii hongera kram vevo unajuwa kaka mungu akuzidishie nguvu uzidi kupambana akuepushe na mabaya yoteeeee❤

  • @VivianRyoba
    @VivianRyoba Год назад +3

    Kwa kweli unakoelekea naona kabisa unafata nyayo za steven kanumba clam vevo mungu akusaidie

  • @khamiswapemba9019
    @khamiswapemba9019 Год назад +125

    Congratulations to you all team kakoso good work

    • @jamesnyambura6292
      @jamesnyambura6292 Год назад

      This guys are doing that thing they way it should be much love from Kenya

  • @giftzabayo6335
    @giftzabayo6335 Год назад +58

    wa kwanza from USA🇺🇸 but please team clam vevo don’t delay with episode 17👏👏

  • @felistersakwa2568
    @felistersakwa2568 Год назад +19

    Wakwanza leo kuwatch, team hamam team kujiamini nawarepresent niko mbele nimewashikia viti, also representing Kenya my country🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @SakinaNgoya
    @SakinaNgoya Год назад +10

    Kazi nzuri sana hongereni washiriki wote mungu azd kuwatia nguvu na ufanisi zaid

  • @jamesalfred6675
    @jamesalfred6675 Год назад +18

    Mnajua mpaka mnakera watu wangu,big up sana kwa director na washiriki wote wa siries hii kali ambayo ina mafunzo na burudani za kutosha🔥🔥🔥🔥

  • @BintiBinti-s6m
    @BintiBinti-s6m Год назад +20

    Much love ❤️ from kenya 🇰🇪 si wanifahamu si nanga umbea umbea... clam vevo kazi nzuri sna

  • @husnabilali3099
    @husnabilali3099 Год назад +11

    Clam VEVO naona kabisa mpk 2024 utakuja kumfikia kanumba much love ❤❤🎉🎉🎉

  • @atanasjisonge2538
    @atanasjisonge2538 Год назад +16

    Big up dogo Clam pia pongezi hizi na kwa kakoso mwakatobe na Zumba nawakubali sanaaaaa

  • @mariammakwaa1698
    @mariammakwaa1698 Год назад +3

    Haisee hii move mume wangu na mtoto wangu wanaipenda ubarikiwe clam

  • @johnkama4923
    @johnkama4923 Год назад +4

    Very proud of Clam from Our Country Kenya good job & good luck ❤

  • @EsmailSalimo-u8x
    @EsmailSalimo-u8x Год назад +133

    Força clam te desejo tudo de bom
    Mozambique 🇲🇿 CADODO

  • @bramwelsituma6375
    @bramwelsituma6375 Год назад +63

    Congratulations, we are proud of clam from kenya, much love ❤

  • @dorcahnyabo4713
    @dorcahnyabo4713 Год назад +101

    much love ❤ from Kenya 🇰🇪 clam never disappoint keep up

  • @qaltumsaid3095
    @qaltumsaid3095 Год назад +9

    Wale wa kuchelewa kuangalia tujuane tafadhali ❤❤❤❤❤😊

  • @costantpungwe2819
    @costantpungwe2819 Год назад +4

    Kwa Nini mimi sipati like.kwa sababu mimi mu congomani?

  • @martinmunywoki
    @martinmunywoki Год назад +36

    Namkubali sana Kim. Timu yote yastahili pongezi sana.

  • @aswaneliphas2271
    @aswaneliphas2271 Год назад +17

    Much love from Kenya people from tz we loves you alot like back tz people

  • @husseinkatambo-xl9xy
    @husseinkatambo-xl9xy Год назад +29

    Kenya 🇰🇪 watching anxiously waiting for the next episode....

  • @Sane_Issa007
    @Sane_Issa007 Год назад +16

    Clam wewe unajuwa sanaaa ninapenda sana the way you are so creative unamfanya mtu anaeangalia movie awe ana concentration ya hali ya juuuu sanaaaaaa 😍😍😍😍😍😍

  • @joanbwahama-rx3tc
    @joanbwahama-rx3tc Год назад +3

    Iclam unajua tena zaidi ya kujua sema shida yako move zako zinaishia njiani❤❤❤

  • @silasmalick
    @silasmalick Год назад +8

    Nasisi Burundi tupo vizuri tunafatiliya hii movie hii ni international banger

  • @SaroMwaringa
    @SaroMwaringa Год назад +68

    Waah Noma Sana still waiting for the next episode MWARINGA nikiwa Mombasa KENYA 🇰🇪 love you guys ❤❤

  • @brysonshitiru
    @brysonshitiru Год назад +59

    Much love❤ from Kenya🇰🇪 clam,,,,guzisha likes tukingoja next episodes to come

  • @princemozes9923
    @princemozes9923 Год назад +1

    Mungewacha nahizo za nyoka kiroho zinaweza kuwamili kama mnapenda Mungu

  • @suzanangonyani508
    @suzanangonyani508 Год назад +4

    nili isubili kwa hamu sana ❤❤❤❤❤❤

  • @angelinamgaya5802
    @angelinamgaya5802 Год назад +107

    Kama unaangalia snake boy huku unasoma comment naomba gonga like hapa ya upendo kwa clam vevo

  • @SeifZongo
    @SeifZongo Год назад +33

    Hii tamthilia ni moto wa kuotea mbali aisee 🎉Kuna hiyo sound hapo mwisho yaani ni 🔥🔥🔥 hongera sana,hii ndio sanaa siyo wale wa kukaa kweny masofa makubwa na wanawake wenye mawowo makubwa 😂😅 .... keep it up

  • @e-trendingtv
    @e-trendingtv Год назад +23

    Nilikua siangaliagi bongo movie ila clam kanikamata kuanzia kwenye big boss,best friend na hii 🎉

  • @RoseIbramu
    @RoseIbramu Год назад +1

    Kaka unajuwa sana kunamwanangu anakupnda sana

  • @AminaAlbert-m4o
    @AminaAlbert-m4o Год назад +26

    Much love ♥️ from Kenya 🇰🇪🇰🇪 Clam never disappoint keep up

  • @jellyagustino
    @jellyagustino Год назад +6

    Hongerani sana yaani nilikuwa sio mpenz wa kuangalia bongo movie lakin ukwel mmenikamata ❤❤❤❤❤ snake boy sarut

  • @EdwinJohn-vo8uf
    @EdwinJohn-vo8uf Год назад +220

    Tunao cheki move yetu pendwa uku tuna soma koment tujuane hapa 😍🙌🔥🔥🔥

  • @dhgraphix_
    @dhgraphix_ Год назад +15

    Nakubali sana nilkuwa naisubr kwa hamu sana asante sana Clam 🎉🎉🎉

  • @kassimabussa6583
    @kassimabussa6583 Год назад +3

    Sikuhizi mnatufurahisha Kwa dakika mmeziongeza Safi sana hongereni sana team VEVO

  • @EsterZawadi-fh7mb
    @EsterZawadi-fh7mb Год назад +1

    Clam series yako ni nzur sana jitaid kuwai kutoa sio tunasubir adi wiki

  • @AnzuluniAlfane-wp5nf
    @AnzuluniAlfane-wp5nf Год назад +7

    Wakwanza nipo like zangu from Mozambique

  • @jasminabubakary5601
    @jasminabubakary5601 Год назад +25

    Tunakukubali sana Clam ila unatuacha muda mref bila kutoa tunakuw na ham ya kusubir mpaka inaisha😢 tutolee mapema tuendelee kuangalia maan ni nzur tunaipenda❤❤❤

    • @اميرىين
      @اميرىين Год назад +1

      𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊

    • @RamoyoniYusuph
      @RamoyoniYusuph Год назад

      Kwel bwana mpaka unakata tamaa kwann ulikuwa unaifatili

    • @jamilkhamiss1601
      @jamilkhamiss1601 Год назад

      Kweli

    • @AminaSadallah-yi1dv
      @AminaSadallah-yi1dv Год назад

      Kwa wik mara1 Ni kila jumatano au alhamis ndo inaruka marachache san kuwah

    • @rich.kizza10
      @rich.kizza10 Год назад

      lazima ichelewe maana imeongezewa muda na kitu kizuri hakihitaji haraka

  • @fetreshazKhamisi
    @fetreshazKhamisi Год назад +4

    Daah ila mnatcheleweahea mwendelezo mpaka tunasaau km Kuna sneck boy ila pamoja sana❤❤❤🇴🇲🇴🇲🇴🇲Yani hii movie tamu sana daah mambo, 🔥🔥🔥

  • @ChristinaHonest
    @ChristinaHonest Год назад +1

    Samahani vevo nami napenda sanaa sana naomba nami niwe moja yavijana wako ntajitoa kadri yauwowang kaka malengo nikujfikisha rebo mbali

    • @Everline-lg8yq
      @Everline-lg8yq Год назад

      Napendasanaiyo muvi❤❤❤❤😮😮😮🎉🎉 jevahlaureen
      🎉🎉

  • @hamidouba8987
    @hamidouba8987 Год назад +2

    mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.

  • @sophiewangu7936
    @sophiewangu7936 Год назад +31

    This one is fire 😂😂 mwakatobe kashaa aribu maneno can't wait nione ..akimezwa 😄😄😄😄am waiting 4 this........

    • @gabonmaseru2686
      @gabonmaseru2686 Год назад +2

      Yaan Ntiba anakurupuka hlf mwoga, silaha kapewa yeye ila kaogopa kaamua kumterekezea raia😂😂😂😂

    • @idri2907
      @idri2907 Год назад

      😂😂😂😂😂😂😂😂 hata sauti yake kawa mpole

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 Год назад

      ​@@idri2907umeona alivyopoa eeee 😅😅😅

  • @fundiseif1096
    @fundiseif1096 Год назад +11

    Snake boy mambo sio mambo ni hatariii sana 🔥🔥🔥💪

  • @adandida5727
    @adandida5727 Год назад +31

    Much love from Ethiopia 🇪🇹🇪🇹🇪🇹

  • @SifaMongane
    @SifaMongane Год назад +1

    ❤❤❤🎉nawa penda sana but mnatuchrlewesha sisi wa shabiki nawa tizama kutoka south africa 🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦😊

  • @CHYULLUKENYA
    @CHYULLUKENYA Год назад +2

    Weueh,clam fire....
    🔥 🔥

  • @RichardMutie-y2t
    @RichardMutie-y2t Год назад +36

    Much love from Kenya and I can't wait part 17

  • @nadzuamrema5837
    @nadzuamrema5837 Год назад +19

    Imeishia patamu I can't wait to see next episode akii clam congratulations 👏 Allah akujalie kwa kipaji chako inshallah

  • @gabonmaseru2686
    @gabonmaseru2686 Год назад +11

    @CLAM VEVO ,hakika umeiva ,umejipanga na kazi yako unaiheshimu ,
    Bonge la seasons hili ,👏👏👏👏👏

  • @hamidouba8987
    @hamidouba8987 Год назад +2

    mashallah kiukweli nimefurahi sana kila mtu amefurahishwa na wewe kwa series yako naipenda sana naitwa bahamidou ni msenegal nipo hapa ufaransa nilikuwa naangalia series nyingine zote nazipenda sana nazipenda sana.❤❤❤❤

  • @mukichiara
    @mukichiara Год назад

    Dahh clam wew endelea tu 🎉congratulations ❤️

  • @tc_angel
    @tc_angel Год назад +44

    My favorite notification SNAKE BOY❤❤❤...Here I am Clam😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @HASSANTL-m7c
    @HASSANTL-m7c Год назад +11

    Wakwanza leo Namben like zangu

  • @mwanjammassa8563
    @mwanjammassa8563 Год назад +6

    Nimekuwa wa 5 leo,from USA nawafuatiliya vizuri sana

  • @neemamkuchu
    @neemamkuchu Год назад

    Itakayokuja najua itakua ni hottttt zaidi woyooo usituchelewesheee banaaaa ❤❤

  • @SalimaMohamed-re9yp
    @SalimaMohamed-re9yp Год назад +1

    Jamaniiii umeonaa visoda vya gachuma na vizibo vya mooooh dewj guy Wana fanya kazii nzurii sanaa

  • @ZainaHalifa
    @ZainaHalifa Год назад +6

    Kazi nzuri timu clam mungu amiongeze inshaallah

  • @dullahsalum1229
    @dullahsalum1229 Год назад +23

    Mins 17 viwes wakutosha mungu akubariki zaidi na zaidi clam vevo na Tim Yake kwa Jumla kwa tunayoipenda hii move wekeni like zenu apa.❤

  • @GyaviraLaurean
    @GyaviraLaurean Год назад +33

    Pamoja mpaka tunaimaliza hii series 💪💪

  • @fatmabby0017
    @fatmabby0017 Год назад +1

    Kali yani😅😅haya naombeni likes😂😂😂

  • @dionisiopires-gc4vh
    @dionisiopires-gc4vh Год назад +8

    Bom trabalho senhores damos a gostar muito do trabalho força 💪 Moçambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @abrahmanamour8223
    @abrahmanamour8223 Год назад +16

    Wangapi tupo online mda mwingi kufuatilia hii season gonga like tujuane

  • @davidokello317
    @davidokello317 Год назад +80

    This has been the best series 2023❤

  • @shemmaster7swaleyuun228
    @shemmaster7swaleyuun228 Год назад +16

    Kwann NISIWE wakwanza ni kafunga mwaka. Weka like acha wivuuuu😂😂😂😂

  • @EmmyElvis
    @EmmyElvis Год назад +1

    Kazi nzuri,naangalia nkiwa Saudi,lkn nm kenya ✌️

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 Год назад

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏Patamu apo sasa Ntiba na Shahidi vita kali,👍Clam na timu yako

  • @zekelly_025
    @zekelly_025 Год назад +14

    Kama mnavojua sinaga tabia za umbea umbea 😅😅😅😅 plz like zangu😂😂😂🙏🙏🙏

  • @ImaniIbrahimu-jb2oo
    @ImaniIbrahimu-jb2oo Год назад +16

    Mambooo ni motooooo sana hatriiiiii but mujitahidi musicheleweshe sana tupo pamoja sanaaaa❤❤❤

  • @Khatib-xp6fp
    @Khatib-xp6fp Год назад +6

    Ni story nzuri inavutia na ubunifu mzuri asanten sana natamn angalau kwa wiki 2 maaan hatuna movi nyengine km hiiii

  • @laurentrichard4638
    @laurentrichard4638 Год назад +3

    nipeni like zangu atakama nimekuwa wa mwisho😅

  • @Mwanamkasi-s5e
    @Mwanamkasi-s5e Год назад

    Nimefurai kweli ungemaliza n ntiba alafu ndipo malikia tuone ilo tumbo n mtto au n nmawe😂😂😂❤❤❤nawapenda bure. Msichelewe bc nawependa lkn mbachelewa kweli

  • @biga9171
    @biga9171 Год назад +98

    I am from congo DRC but tanzania is my second country. Bro lemme tell you something, your creativity is shining brightly! Your unique ideas and innovative approach are truly making a positive impact. Keep up the fantastic work - the world needs more of your creative energy! 🌟

  • @Fbmovie254
    @Fbmovie254 Год назад +14

    Dah big up bro clam Ii ep imetulia sana tatizo unatoa Moja Kwa wiki watutoa stimu sie tunaofatilia 😂 ❤ from kenya tunangoja next

  • @BarumpozakoKing
    @BarumpozakoKing Год назад +13

    Nakubali kazi zako ila tatizo unatukawiza sana

  • @azizamnankale5123
    @azizamnankale5123 Год назад

    Kazi nzuri sana clam, jitaidini kuwaisha. Kakoso upo vizuri usiongeze wala kupunguza

  • @benjaminjackson8567
    @benjaminjackson8567 10 месяцев назад +1

    Big up clam VEVO 🙏🏿🙏🏿🔥🔥🔥

  • @Thumaommy
    @Thumaommy Год назад +9

    Congratulations we are proud of clam ...much love 4rom saudia

  • @philoteuslwena3082
    @philoteuslwena3082 Год назад +39

    Nimekuwa 12,856 nipe like zanguuu😂😂😂😂😂 much love to you All views

  • @mumbuakiminza1680
    @mumbuakiminza1680 Год назад +8

    Best series so far🔥🔥 naipenda Sana...clam en ur team congrats...naweza kuwatch lolote lile Bora clam yupo na team lake❤️

  • @FunnyBreakingWaves-hq5kr
    @FunnyBreakingWaves-hq5kr Год назад +1

    Film nzuri big up

  • @keiyreginifley4209
    @keiyreginifley4209 Год назад

    Sina neno wazee mmetishaa Sana kadri move inavyozidi kwenda kwenda mbelee ndio kwanza inakuwa tamu na Mambo mapya tunayapata ambayo mwanzo hatukujua chanzo Cha uhasama wao

  • @MuqtaryHarithi
    @MuqtaryHarithi Год назад +5

    Naomba lke zangu mm ndio wakwanza leo

  • @selinakatega6691
    @selinakatega6691 Год назад +6

    Leo nimekuwa ws kwanza kuangalia ..jamani nyie watu mnajua sanaaa❤❤❤

  • @martinskabwe
    @martinskabwe Год назад +16

    Wakwanza from Burundi nipeni likes zangu jaman ❤❤❤

  • @Vercushonore
    @Vercushonore Год назад +2

    Me nimeikubali saba❤

  • @VidalArturo-jk2rs
    @VidalArturo-jk2rs Год назад +1

    Kzi tamu tamu anko